Hawajui

Vanessa Mdee

Nahreel wussup wussup wussup wussup Hamjui tu nyie Alichonifunza Mama Na na ndiyo maana Hamuishi kutukana Hamjui tu nyie Alichonifunza Mama Na na ndiyo maana Hamuishi kutukana Kila kitu majaliwa kupata nimebarikiwaga Nini tilalila usiku mchana unabwabwaja Kwako mi mpira unanicheza unavyotaka Kila siku beki leo kipa nimekudaka We mwanadamu gani uliyekosa aibu Huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu Huishi Zogoa Zogoa Kila Siku Zogoa Zogoa Ukilala Zogoa Zogoa Hamjui tu nyie Alichonifunza Mama Na na ndiyo maana Hamuishi kutukana Hamjui tu nyie Alichonifunza Mama Na na ndiyo maana Hamuishi kutukana Choko choko ndiyo mambo mliozoea Kuweka vigenge na makundi mkiniongelea ah ah Eti naringa, nikishinda mnavimba, hamuishi kuniwinda Mungu ndiyo ananilinda We mwanadamu gani uliyekosa aibu Kunisema kwa ubaya Na ukiapa kwa Mungu Huishi Zogoa Zogoa Kila Siku Zogoa Zogoa Ukilala Zogoa Zogoa Hamjui tu nyie Alichonifunza Mama Na na ndiyo maana Hamuishi kutukana Hamjui tu nyie Alichonifunza Mama Na na ndiyo maana Hamuishi kutukana We mwanadamu gani uliyekosa aibu Huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu Huishi Zogoa Zogoa Kila Siku Zogoa Zogoa Ukilala Zogoa Zogoa Hamjui tu nyie Alichonifunza Mama Na na ndiyo maana Hamuishi kutukana Hamjui tu nyie Alichonifunza Mama Na na ndiyo maana Hamuishi kutukana Hamjui tu nyie Alichonifunza Mama Na na ndiyo maana Hamuishi kutukana Hamjui tu nyie Alichonifunza Mama Na na ndiyo maana Hamuishi kutukana

Written by: Lyrics Licensed & Provided by LyricFind

Create your own version of your favorite music.

Sing now

Kanto is available on:

google-playapp-storehuawei-store